2 Mambo ya Nyakati 29:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo makuhani wakaingia ndani ya nyumba ya Yehova ili kuitakasa, nao wakaondoa uchafu wote uliokuwa katika hekalu la Yehova na kuupeleka kwenye ua+ wa nyumba ya Yehova. Halafu Walawi wakauchukua na kuupeleka nje katika Bonde la Kidroni.+
16 Ndipo makuhani wakaingia ndani ya nyumba ya Yehova ili kuitakasa, nao wakaondoa uchafu wote uliokuwa katika hekalu la Yehova na kuupeleka kwenye ua+ wa nyumba ya Yehova. Halafu Walawi wakauchukua na kuupeleka nje katika Bonde la Kidroni.+