16 Sasa makuhani wakaingia ndani ya nyumba ya Yehova ili kufanya utakaso, nao wakauondoa uchafu wote walioupata katika hekalu la Yehova mpaka kwenye ua+ wa nyumba ya Yehova. Nao Walawi wakauchukua ili waupeleke nje katika bonde la mto la Kidroni+ upande wa nje.