Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na mfalme akawaamuru Hilkia+ kuhani mkuu na makuhani wa daraja la pili na watunza-milango+ waondoe katika hekalu la Yehova vyombo vyote vilivyotengenezwa kwa ajili ya Baali+ na kwa ajili ya mti mtakatifu+ na kwa ajili ya jeshi lote la mbinguni.+ Ndipo akaviteketeza kwa moto nje ya Yerusalemu kwenye matuta ya Kidroni,+ naye akayapeleka mavumbi yake kule Betheli.+

  • 2 Wafalme 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Tena akauondoa mti mtakatifu+ katika nyumba ya Yehova mpaka nje ya Yerusalemu, kwenye bonde la mto la Kidroni, akauteketeza+ kwa moto katika bonde la mto la Kidroni na kuusaga ukawa mavumbi, akayatupa mavumbi yake juu ya makaburi+ ya wana wa watu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye Asa mfalme+ akamwondoa hata Maaka+ nyanya yake asiwe malkia,+ kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu yenye kutisha kwa ajili ya mti mtakatifu;+ kisha Asa akaikata sanamu yake yenye kutisha+ na kuiponda na kuiteketeza kwa moto+ katika bonde la mto la Kidroni.+

  • Yohana 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Akiisha kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake ng’ambo ya mto wa majira ya baridi kali wa Kidroni+ mpaka mahali palipokuwa na bustani, na yeye na wanafunzi wake wakaingia ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki