Mathayo 26:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndipo Yesu akaja pamoja nao mpaka mahali+ panapoitwa Gethsemane, naye akawaambia wanafunzi: “Ketini hapa ninapoenda pale na kusali.”+ Marko 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa hiyo wakafika mahali panapoitwa jina Gethsemane, naye akawaambia wanafunzi wake: “Ketini hapa ninaposali.”+
36 Ndipo Yesu akaja pamoja nao mpaka mahali+ panapoitwa Gethsemane, naye akawaambia wanafunzi: “Ketini hapa ninapoenda pale na kusali.”+
32 Kwa hiyo wakafika mahali panapoitwa jina Gethsemane, naye akawaambia wanafunzi wake: “Ketini hapa ninaposali.”+