Marko 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa hiyo wakafika mahali panapoitwa jina Gethsemane, naye akawaambia wanafunzi wake: “Ketini hapa ninaposali.”+ Luka 22:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Baada ya kufika hapo akawaambia: “Salini, ili msiingie katika jaribu.”+
32 Kwa hiyo wakafika mahali panapoitwa jina Gethsemane, naye akawaambia wanafunzi wake: “Ketini hapa ninaposali.”+