Mathayo 26:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Endeleeni kukesha+ na kusali+ sikuzote, ili msiingie katika jaribu.+ Bila shaka, roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”+ Marko 14:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Endeleeni kukesha na kusali,+ ili msiingie katika jaribu. Bila shaka, roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”+ Luka 22:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 naye akawaambia: “Kwa nini mnalala usingizi? Amkeni msali, ili msiingie katika jaribu.”+
41 Endeleeni kukesha+ na kusali+ sikuzote, ili msiingie katika jaribu.+ Bila shaka, roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”+
38 Endeleeni kukesha na kusali,+ ili msiingie katika jaribu. Bila shaka, roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”+