2 Samweli 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na haya ndiyo maneno ya mwisho ya Daudi:+“Neno la Daudi mwana wa Yese,+Na neno la mwanamume aliyeinuliwa juu,+Mtiwa-mafuta+ wa Mungu wa Yakobo,Na mwenye kupendeza wa muziki+ wa Israeli.
23 Na haya ndiyo maneno ya mwisho ya Daudi:+“Neno la Daudi mwana wa Yese,+Na neno la mwanamume aliyeinuliwa juu,+Mtiwa-mafuta+ wa Mungu wa Yakobo,Na mwenye kupendeza wa muziki+ wa Israeli.