Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 7:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Na Sulemani mwishowe akavitengeneza vyombo vyote vya nyumba ya Yehova, madhabahu+ ya dhahabu na meza+ ambayo mkate wa wonyesho ulikuwa juu yake, ya dhahabu,

  • 2 Mambo ya Nyakati 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tena akatengeneza meza kumi, akaziweka katika hekalu, tano upande wa kuume na tano upande wa kushoto,+ halafu akatengeneza mabakuli mia moja ya dhahabu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wanamfukizia Yehova toleo la kuteketezwa asubuhi baada ya asubuhi na jioni baada ya jioni+ na pia uvumba uliotiwa manukato;+ na tabaka za mkate ziko juu ya meza ya dhahabu safi,+ na kuna kinara cha taa+ cha dhahabu na taa zake ili kuwaka jioni baada ya jioni;+ kwa sababu tunashika wajibu+ kwa Yehova Mungu wetu, lakini ninyi mmemwacha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki