2 Mambo ya Nyakati 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mkono wa Mungu wa kweli ukawa katika Yuda pia ili kuwapa moyo mmoja+ ili watende amri+ ya mfalme na wakuu kuhusu lile jambo la Yehova.+ Zaburi 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+ Zaburi 136:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yule peke yake aliye Mtendaji wa mambo ya ajabu, mambo makuu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
12 Mkono wa Mungu wa kweli ukawa katika Yuda pia ili kuwapa moyo mmoja+ ili watende amri+ ya mfalme na wakuu kuhusu lile jambo la Yehova.+
17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+
4 Yule peke yake aliye Mtendaji wa mambo ya ajabu, mambo makuu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+