2 Mambo ya Nyakati 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baada ya hayo wakaenda kwa Mfalme Hezekia na kumwambia: “Tumeitakasa nyumba yote ya Yehova, madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa+ na vyombo vyake vyote,+ na meza ya mikate ya tabaka*+ na vyombo vyake vyote.
18 Baada ya hayo wakaenda kwa Mfalme Hezekia na kumwambia: “Tumeitakasa nyumba yote ya Yehova, madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa+ na vyombo vyake vyote,+ na meza ya mikate ya tabaka*+ na vyombo vyake vyote.