34 Na ile milango miwili ilikuwa ya mbao za mberoshi.+ Zile sehemu mbili za mlango mmoja zilifunguka zikiwa juu ya maegemeo, na zile sehemu mbili za ule mlango mwingine zikafunguka zikiwa juu ya maegemeo.+
24 Zaidi ya hayo, Ahazi akavikusanya vyombo+ vya nyumba ya Mungu wa kweli na kuvikata vipande-vipande vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaifunga milango+ ya nyumba ya Yehova, akajitengenezea madhabahu katika kila pembe katika Yerusalemu.+