17 Kwa hiyo walianza kazi hiyo ya kutakasa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, na katika siku ya nane ya mwezi huo wakafika katika ukumbi wa Yehova.+ Waliitakasa nyumba ya Yehova kwa siku nane, na katika siku ya 16 ya mwezi wa kwanza wakamaliza kazi hiyo.