3 Ukumbi+ wa mbele wa hekalu* ulikuwa na urefu* wa mikono 20, nao ulilingana na upana wa nyumba. Ulikuwa na kina cha mikono kumi kuanzia mbele ya nyumba.
11 Kisha Daudi akampa Sulemani mwana wake ramani ya ujenzi+ wa ukumbi+ na ya nyumba zake, maghala yake, vyumba vyake vya darini, vyumba vyake vya ndani, na nyumba ya kifuniko cha upatanisho.*+