Mambo ya Walawi 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+ 1 Wafalme 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akatayarisha chumba cha ndani zaidi+ katika nyumba hiyo ili kuweka humo sanduku la agano la Yehova.+
2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+
19 Naye akatayarisha chumba cha ndani zaidi+ katika nyumba hiyo ili kuweka humo sanduku la agano la Yehova.+