Kutoka 40:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Akaingiza sanduku la Ushahidi ndani ya hema la ibada na kuweka pazia+ ambalo lilifunika sanduku la Ushahidi,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa. 1 Wafalme 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha makuhani wakalileta sanduku la agano la Yehova mahali pake,+ katika chumba cha ndani zaidi cha nyumba, yaani, Patakatifu Zaidi, chini ya mabawa ya makerubi.+
21 Akaingiza sanduku la Ushahidi ndani ya hema la ibada na kuweka pazia+ ambalo lilifunika sanduku la Ushahidi,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.
6 Kisha makuhani wakalileta sanduku la agano la Yehova mahali pake,+ katika chumba cha ndani zaidi cha nyumba, yaani, Patakatifu Zaidi, chini ya mabawa ya makerubi.+