Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 26:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Utalining’iniza pazia hilo chini ya vibanio na kuleta sanduku la Ushahidi+ humo, nyuma ya pazia. Pazia hilo litatenganisha Patakatifu+ na Patakatifu Zaidi.+

  • Kutoka 40:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Akaingiza sanduku la Ushahidi ndani ya hema la ibada na kuweka pazia+ ambalo lilifunika sanduku la Ushahidi,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.

  • 2 Samweli 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi wakaliingiza ndani Sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo.+ Kisha Daudi akatoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ mbele za Yehova.+

  • Ufunuo 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na patakatifu pa hekalu la Mungu palipo mbinguni pakafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana katika patakatifu pa hekalu lake.+ Na kukatokea radi na sauti na ngurumo na tetemeko la ardhi na mvua kubwa ya mawe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki