-
Waebrania 9:2-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Kwa maana chumba cha kwanza cha hema kilijengwa, na ndani yake mlikuwa na kinara cha taa+ na meza na mikate ya toleo;*+ nacho kinaitwa Mahali Patakatifu.+ 3 Lakini nyuma ya pazia la pili+ kulikuwa na chumba cha hema kilichoitwa Patakatifu Zaidi.+ 4 Hicho kilikuwa na chetezo cha dhahabu+ na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kabisa kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana,+ fimbo ya Haruni iliyochipuka,+ na yale mabamba+ ya agano;
-