22 Kisha akaweka meza+ ndani ya hema la mkutano upande wa kaskazini, nje ya pazia, 23 naye akapanga juu yake ile mikate+ kwa safu mbele za Yehova, kama Yehova alivyomwamuru Musa.
24 Akaweka kile kinara cha taa+ ndani ya hema la mkutano mbele ya meza hiyo, upande wa kusini.