Kutoka 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha akatengeneza meza ya mbao za mshita.+ Ilikuwa na urefu wa mikono miwili, upana wa mkono mmoja, na kimo cha mkono mmoja na nusu.+ Waebrania 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana chumba cha kwanza cha hema kilijengwa, na ndani yake mlikuwa na kinara cha taa+ na meza na mikate ya toleo;*+ nacho kinaitwa Mahali Patakatifu.+
10 Kisha akatengeneza meza ya mbao za mshita.+ Ilikuwa na urefu wa mikono miwili, upana wa mkono mmoja, na kimo cha mkono mmoja na nusu.+
2 Kwa maana chumba cha kwanza cha hema kilijengwa, na ndani yake mlikuwa na kinara cha taa+ na meza na mikate ya toleo;*+ nacho kinaitwa Mahali Patakatifu.+