Kutoka 25:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nawe utaweka mikate ya wonyesho juu ya meza hiyo ili iwe mbele zangu daima.+ Mathayo 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, nao wakala mikate ya toleo,*+ kitu ambacho hakikuwa halali kwake au kwa wale waliokuwa pamoja naye kula, ila makuhani tu?+
4 Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, nao wakala mikate ya toleo,*+ kitu ambacho hakikuwa halali kwake au kwa wale waliokuwa pamoja naye kula, ila makuhani tu?+