Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 24:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Utachukua unga laini na kuoka mikate 12 ya mviringo. Utatumia sehemu mbili za kumi za kipimo cha efa* cha unga laini kuoka kila mkate. 6 Utaipanga mikate hiyo kwenye safu* mbili juu ya meza ya dhahabu safi mbele za Yehova,+ kila safu itakuwa na mikate sita.+

  • 1 Samweli 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi kuhani akampa mikate mitakatifu,+ kwa sababu hakukuwa na mikate mingine isipokuwa mikate ya wonyesho iliyokuwa imeondolewa mbele za Yehova na mikate mipya kuwekwa siku hiyo.

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Baadhi ya ndugu zao Wakohathi walisimamia mikate ya tabaka,*+ waliitayarisha kila sabato.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wanamfukizia Yehova moshi wa dhabihu za kuteketezwa kila asubuhi na kila jioni+ pamoja na uvumba uliotiwa manukato,+ na mikate ya tabaka*+ iko kwenye meza iliyotengenezwa kwa dhahabu safi, nao wanawasha kinara cha taa cha dhahabu+ na taa zake kila jioni,+ kwa sababu tunatekeleza jukumu letu kwa Yehova Mungu wetu; lakini ninyi mmemwacha.

  • Mathayo 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, nao wakala mikate ya toleo,*+ kitu ambacho hakikuwa halali kwake au kwa wale waliokuwa pamoja naye kula, ila makuhani tu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki