Kutoka 25:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Pia utatengeneza meza+ ya mbao za mshita yenye urefu wa mikono miwili na upana wa mkono mmoja na kimo cha mkono mmoja na nusu.+ 24 Utaifunika kwa dhahabu safi na kutengeneza ukingo wa dhahabu kuizunguka. 1 Wafalme 7:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Sulemani alivitengeneza vitu vyote vya nyumba ya Yehova: madhabahu+ ya dhahabu; meza ya dhahabu+ ya kuwekea mikate ya wonyesho;
23 “Pia utatengeneza meza+ ya mbao za mshita yenye urefu wa mikono miwili na upana wa mkono mmoja na kimo cha mkono mmoja na nusu.+ 24 Utaifunika kwa dhahabu safi na kutengeneza ukingo wa dhahabu kuizunguka.
48 Sulemani alivitengeneza vitu vyote vya nyumba ya Yehova: madhabahu+ ya dhahabu; meza ya dhahabu+ ya kuwekea mikate ya wonyesho;