Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kisha akaweka meza+ ndani ya hema la mkutano upande wa kaskazini, nje ya pazia, 23 naye akapanga juu yake ile mikate+ kwa safu mbele za Yehova, kama Yehova alivyomwamuru Musa.

  • 1 Samweli 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini kuhani akamwambia Daudi: “Kwa sasa hakuna mikate ya kawaida, lakini kuna mikate mitakatifu+—ninaweza kukupa tu ikiwa vijana wako wamejiepusha na wanawake.”*+

  • Marko 2:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini akawaambia: “Je, hamjasoma alilofanya Daudi, wakati alipokuwa na uhitaji na yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye walipohisi njaa?+ 26 Jinsi katika simulizi kuhusu mkuu wa makuhani Abiathari,+ Daudi alivyoingia katika nyumba ya Mungu na kula mikate ya toleo,* ambayo si halali kwa mtu yeyote kula isipokuwa makuhani,+ naye akawapa pia watu waliokuwa pamoja naye?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki