Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nawe utaweka mikate ya wonyesho juu ya meza hiyo ili iwe mbele zangu daima.+

  • Mambo ya Walawi 24:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Utachukua unga laini na kuoka mikate 12 ya mviringo. Utatumia sehemu mbili za kumi za kipimo cha efa* cha unga laini kuoka kila mkate.

  • Mambo ya Walawi 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Itakuwa ya Haruni na wanawe,+ nao wataila mahali patakatifu,+ kwa sababu ni kitu kitakatifu kabisa kwa ajili ya kuhani kutoka kwa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto; itakuwa sheria ya kudumu.”

  • Mathayo 12:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yesu akawaambia: “Je, hamjasoma alilofanya Daudi wakati yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye walipohisi njaa?+ 4 Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, nao wakala mikate ya toleo,*+ kitu ambacho hakikuwa halali kwake au kwa wale waliokuwa pamoja naye kula, ila makuhani tu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki