Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu kabisa+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+

  • Mambo ya Walawi 22:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Mtu asiye na idhini* haruhusiwi kula vitu vitakatifu.+ Hakuna mgeni wa kuhani au kibarua anayepaswa kula kitu chochote kitakatifu.

  • 1 Samweli 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini kuhani akamwambia Daudi: “Kwa sasa hakuna mikate ya kawaida, lakini kuna mikate mitakatifu+—ninaweza kukupa tu ikiwa vijana wako wamejiepusha na wanawake.”*+

  • 1 Samweli 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi kuhani akampa mikate mitakatifu,+ kwa sababu hakukuwa na mikate mingine isipokuwa mikate ya wonyesho iliyokuwa imeondolewa mbele za Yehova na mikate mipya kuwekwa siku hiyo.

  • Mathayo 12:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yesu akawaambia: “Je, hamjasoma alilofanya Daudi wakati yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye walipohisi njaa?+ 4 Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, nao wakala mikate ya toleo,*+ kitu ambacho hakikuwa halali kwake au kwa wale waliokuwa pamoja naye kula, ila makuhani tu?+

  • Luka 6:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini Yesu akawajibu: “Je, hamjasoma alilofanya Daudi wakati yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye walipohisi njaa?+ 4 Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu akapokea mikate ya toleo,* akala na pia akawapa wanaume waliokuwa pamoja naye, mikate ambayo si halali kwa yeyote kula ila makuhani tu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki