Zaburi 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+ Zaburi 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+ Zaburi 95:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+ Wafilipi 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Shangilieni sikuzote katika Bwana.+ Mara nyingine tena nitasema, Shangilieni!+
11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+
33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+
95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+