Ayubu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake. Yeremia 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nabii ambaye ana ndoto, na asimulie ndoto hiyo; lakini yule ambaye ana neno langu, na aliseme neno langu kwa ukweli.”+ “Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?”+ asema Yehova.
11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.
28 Nabii ambaye ana ndoto, na asimulie ndoto hiyo; lakini yule ambaye ana neno langu, na aliseme neno langu kwa ukweli.”+ “Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?”+ asema Yehova.