Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Musa akaandika sheria hii+ na kuwapa makuhani wana wa Lawi,+ wachukuaji wa sanduku la agano la Yehova,+ na kuwapa wanaume wote wazee wa Israeli.

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Shafani akampelekea mfalme kile kitabu, akaendelea kumjibu mfalme, akisema: “Yote ambayo yametiwa mkononi mwa watumishi wako wanayafanya.

  • Nehemia 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Siku hiyo kitabu+ cha Musa kilisomwa+ masikioni mwa watu; na ndani yake ikapatikana imeandikwa kwamba Mwamoni+ wala Mmoabu+ asiingie katika kutaniko la Mungu wa kweli mpaka wakati usio na kipimo,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki