3 Naye akaendelea kusoma+ ndani ya kile kitabu kwa sauti mbele ya kiwanja cha watu wote kilichoko mbele ya Lango la Maji, kuanzia mapambazuko+ mpaka katikati ya mchana, mbele ya wanaume na wanawake na mbele ya wale wengine wenye akili; na watu wote wakasikiliza+ kwa makini+ kitabu cha sheria.
15 Baada ya kusoma Sheria+ na Manabii mbele ya watu wote maofisa-wasimamizi+ wa sinagogi wakawatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa kuna neno lolote la kitia moyo mlilo nalo kwa ajili ya watu, lisemeni.”
21 Kwa maana tangu nyakati za kale katika jiji baada ya jiji Musa amekuwa na wale wanaomhubiri, kwa sababu yeye husomwa kwa sauti kubwa katika masinagogi kila siku ya sabato.”+