Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye akaja mpaka Nazareti,+ ambako alikuwa amelelewa; na, kulingana na desturi yake siku ya sabato, akaingia katika sinagogi,+ naye akasimama ili asome.

  • Matendo 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baada ya kusoma Sheria+ na Manabii mbele ya watu wote maofisa-wasimamizi+ wa sinagogi wakawatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa kuna neno lolote la kitia moyo mlilo nalo kwa ajili ya watu, lisemeni.”

  • Matendo 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana tangu nyakati za kale katika jiji baada ya jiji Musa amekuwa na wale wanaomhubiri, kwa sababu yeye husomwa kwa sauti kubwa katika masinagogi kila siku ya sabato.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki