Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza; kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa,+ lakini yeyote ambaye hana kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+

  • Matendo 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na mwanamke fulani anayeitwa Lidia, muuzaji wa nguo za rangi ya zambarau, wa jiji la Thiatira+ aliyekuwa mwabudu wa Mungu, alikuwa akisikiliza, na Yehova akafungua wazi moyo+ wake asikilize kwa makini mambo yaliyokuwa yakisemwa na Paulo.

  • Matendo 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa watu hawa walikuwa wasikivu kuliko wale wa Thesalonike, kwa maana walilipokea neno kwa hamu kubwa zaidi ya akili, wakiyachunguza+ Maandiko+ kwa uangalifu kila siku ili kuona kama mambo hayo ndivyo yalivyo.+

  • Waebrania 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hiyo ndiyo sababu ni lazima kwetu kuyakazia uangalifu zaidi kuliko ilivyo kawaida mambo tuliyosikia,+ ili tusipeperushwe kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki