Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 wakati ambapo Israeli wote watakuja kuuona uso wa Yehova+ Mungu wako katika mahali atakapopachagua,+ utaisoma sheria hii mbele ya Israeli wote masikioni mwao.+

  • Nehemia 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Ezra kuhani+ akaleta sheria mbele ya kutaniko+ la wanaume na la wanawake na vilevile la wote wenye akili ya kutosha kuweza kusikiliza,+ katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba.+

  • Luka 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye akaja mpaka Nazareti,+ ambako alikuwa amelelewa; na, kulingana na desturi yake siku ya sabato, akaingia katika sinagogi,+ naye akasimama ili asome.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki