11 wakati ambapo Israeli wote watakuja kuuona uso wa Yehova+ Mungu wako katika mahali atakapopachagua,+ utaisoma sheria hii mbele ya Israeli wote masikioni mwao.+
2 Basi Ezra kuhani+ akaleta sheria mbele ya kutaniko+ la wanaume na la wanawake na vilevile la wote wenye akili ya kutosha kuweza kusikiliza,+ katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba.+
16 Naye akaja mpaka Nazareti,+ ambako alikuwa amelelewa; na, kulingana na desturi yake siku ya sabato, akaingia katika sinagogi,+ naye akasimama ili asome.