Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Miriamu nabii, dada ya Haruni,+ akachukua tari mkononi mwake;+ na wanawake wote wakaanza kutoka pamoja naye wakiwa na matari na kucheza dansi.+

  • Waamuzi 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Debora, nabii wa kike,+ mke wa Lapidothi, ndiye aliyekuwa akihukumu Israeli wakati huo.

  • Nehemia 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wakumbuke+ Tobia+ na Sanbalati, Ee Mungu wangu, kulingana na matendo hayo ya kila mmoja wao, na pia Noadia nabii wa kike+ na wale manabii wengine walioendelea kujaribu kunitia woga.

  • Luka 2:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Basi kulikuwako nabii Ana, binti ya Fanueli, wa kabila la Asheri (mwanamke huyu alikuwa amesonga sana katika miaka, na alikuwa ameishi pamoja na mume kwa miaka saba kutoka ubikira wake,

  • Matendo 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mtu huyu alikuwa na binti wanne, mabikira, waliotoa unabii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki