Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Miriamu nabii, dada ya Haruni,+ akachukua tari mkononi mwake;+ na wanawake wote wakaanza kutoka pamoja naye wakiwa na matari na kucheza dansi.+

  • 2 Wafalme 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi Hilkia kuhani na Ahikamu na Akbori na Shafani na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii,+ mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunzaji wa mavazi,+ kwa kuwa alikuwa akikaa katika Yerusalemu katika eneo la pili; nao wakaanza kusema naye.+

  • Luka 2:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Basi kulikuwako nabii Ana, binti ya Fanueli, wa kabila la Asheri (mwanamke huyu alikuwa amesonga sana katika miaka, na alikuwa ameishi pamoja na mume kwa miaka saba kutoka ubikira wake,

  • Matendo 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mtu huyu alikuwa na binti wanne, mabikira, waliotoa unabii.+

  • 1 Wakorintho 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 lakini kila mwanamke ambaye husali au kutoa unabii+ kichwa chake kikiwa hakijafunikwa hukiaibisha kichwa chake,+ kwa maana ni kana kwamba yeye ni mwanamke mwenye kichwa kilichonyolewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki