2 Mambo ya Nyakati 34:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi Hilkia pamoja na wale ambao mfalme alikuwa amesema wakaenda kwa Hulda+ nabii,+ mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi mtunzaji wa mavazi,+ kwa kuwa alikuwa akikaa Yerusalemu katika eneo la pili; nao wakaanza kusema naye hivyo.
22 Basi Hilkia pamoja na wale ambao mfalme alikuwa amesema wakaenda kwa Hulda+ nabii,+ mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi mtunzaji wa mavazi,+ kwa kuwa alikuwa akikaa Yerusalemu katika eneo la pili; nao wakaanza kusema naye hivyo.