14 Basi kuhani Hilkia, Ahikamu, Akbori, Shafani, na Asaya wakaenda kwa nabii wa kike anayeitwa Hulda.+ Alikuwa mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunzaji wa chumba cha mavazi, naye alikuwa akiishi katika Wilaya ya Pili ya Yerusalemu; wakazungumza naye huko.+