2 Mambo ya Nyakati 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha wakazitia mkononi mwa wafanyakazi waliowekwa juu ya nyumba ya Yehova.+ Nao wafanyakazi waliokuwa wakitenda kazi katika nyumba ya Yehova wakazitumia kutengeneza na kuirekebisha nyumba.
10 Kisha wakazitia mkononi mwa wafanyakazi waliowekwa juu ya nyumba ya Yehova.+ Nao wafanyakazi waliokuwa wakitenda kazi katika nyumba ya Yehova wakazitumia kutengeneza na kuirekebisha nyumba.