5 Kwa hiyo Daudi akasema: “Sulemani mwanangu ni mchanga na mwororo,+ na ile nyumba itakayojengewa Yehova inapaswa kuwa yenye utukufu+ zaidi kwa ajili ya uzuri+ wenye heshima kwa nchi zote. Basi, acha mimi nimfanyie matayarisho.” Hivyo Daudi akafanya matayarisho kwa wingi sana kabla ya kifo chake.+