-
1 Mambo ya Nyakati 22:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Daudi akasema: “Mwanangu Sulemani ni mchanga na hana uzoefu,*+ na nyumba itakayojengwa kwa ajili ya Yehova itakuwa na utukufu usio na kifani,+ hivi kwamba umaarufu na umaridadi+ wake utajulikana katika nchi zote.+ Kwa hiyo, nitafanya matayarisho kwa ajili yake.” Basi Daudi akatayarisha vifaa vingi sana kabla ya kifo chake.
-