11 Nyumba yetu ya utakatifu na uzuri,+ ambayo ndani yake mababu zetu walikusifu wewe,+ imekuwa kitu cha kuteketezwa motoni;+ na kila kimoja cha vitu vyetu vyenye kutamanika+ kimeharibika.
3 ‘Ni nani kati yenu anayebaki ambaye aliona nyumba hii katika utukufu wake wa zamani?+ Nanyi mnaionaje sasa? Kwa kulinganisha, je, hii haionekani machoni penu kuwa kama si kitu?’+