7 Na sasa, Yehova Mungu wangu, wewe mwenyewe umemfanya mtumishi wako kuwa mfalme mahali pa Daudi baba yangu, nami ni mvulana mdogo tu.+ Sijui jinsi ya kutoka na jinsi ya kuingia.+
29Basi Daudi mfalme akaliambia kutaniko lote:+ “Sulemani mwanangu, ambaye Mungu amemchagua,+ ni mchanga+ na mwororo, lakini kazi ni kubwa; kwa kuwa jumba hilo la kifalme si la mwanadamu,+ bali ni la Yehova Mungu.