1 Mambo ya Nyakati 9:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na baadhi ya wana wa Wakohathi, ndugu zao, walikuwa wakisimamia mkate wa tabaka,+ ili kuutayarisha kila sabato.+ 2 Mambo ya Nyakati 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha Walawi+ wa wana wa Wakohathi+ na wa wana wa Wakora+ wakasimama ili kumsifu Yehova Mungu wa Israeli, kwa sauti kubwa isivyo kawaida.+
32 Na baadhi ya wana wa Wakohathi, ndugu zao, walikuwa wakisimamia mkate wa tabaka,+ ili kuutayarisha kila sabato.+
19 Kisha Walawi+ wa wana wa Wakohathi+ na wa wana wa Wakora+ wakasimama ili kumsifu Yehova Mungu wa Israeli, kwa sauti kubwa isivyo kawaida.+