2 Mambo ya Nyakati 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waliwapa mafundi na wajenzi ili wanunue mawe yaliyochongwa na mbao za kuunganisha na za kutengeneza maboriti ya kujenga nyumba ambazo wafalme wa Yuda waliacha ziharibike.+ 2 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 34:11 Furahia Maisha Milele!, somo la 55
11 Waliwapa mafundi na wajenzi ili wanunue mawe yaliyochongwa na mbao za kuunganisha na za kutengeneza maboriti ya kujenga nyumba ambazo wafalme wa Yuda waliacha ziharibike.+