15 Nao hawakuwa wakitoza hesabu+ wale watu ambao mkononi mwao pesa zilitiwa ili kuwapa wale wafanyakazi,+ kwa sababu walikuwa wakifanya kazi kwa uaminifu.+
2 Nami nikaweka usimamizi wa Yerusalemu chini ya Hanani ndugu yangu na Hanania+ mkuu wa Ngome,+ kwa maana alikuwa mwanamume mwenye kutegemeka+ sana naye alimwogopa+ Mungu wa kweli kuliko wengine wengi.