Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nao hawakuwa wakitoza hesabu+ wale watu ambao mkononi mwao pesa zilitiwa ili kuwapa wale wafanyakazi,+ kwa sababu walikuwa wakifanya kazi kwa uaminifu.+

  • Nehemia 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nikaweka usimamizi wa Yerusalemu chini ya Hanani ndugu yangu na Hanania+ mkuu wa Ngome,+ kwa maana alikuwa mwanamume mwenye kutegemeka+ sana naye alimwogopa+ Mungu wa kweli kuliko wengine wengi.

  • Methali 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mtu mwenye matendo ya uaminifu atapata baraka nyingi,+ lakini yeye anayefanya haraka kupata utajiri hatabaki pasipo hatia.+

  • 1 Wakorintho 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki