12 Na watu hao walikuwa wakifanya kazi ile kwa uaminifu;+ na juu yao wakawekwa Yahathi na Obadia, Walawi, kutoka kwa wana wa Merari,+ na Zekaria na Meshulamu, kutoka kwa wana wa Wakohathi,+ wawe waangalizi. Na Walawi, ambao kila mmoja wao alikuwa mjuzi wa vyombo vya nyimbo,+