12 Wanaume hao walifanya kazi hiyo kwa uaminifu.+ Walawi waliowekwa wawasimamie ni Yahathi na Obadia kutoka kwa Wamerari,+ na Zekaria na Meshulamu kutoka kwa Wakohathi,+ ili watumikie wakiwa waangalizi. Na Walawi fulani, ambao wote walikuwa wanamuziki stadi,+