Kumbukumbu la Torati 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Naye atakaa nacho, na kukisoma siku zote za maisha yake,+ kusudi ajifunze kumwogopa Yehova Mungu wake ili apate kushika maneno yote ya sheria hii na masharti haya kwa kuyafanya;+ Zaburi 119:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Pia nitasema juu ya vikumbusho vyako mbele ya wafalme,+Wala sitaona aibu.+
19 “Naye atakaa nacho, na kukisoma siku zote za maisha yake,+ kusudi ajifunze kumwogopa Yehova Mungu wake ili apate kushika maneno yote ya sheria hii na masharti haya kwa kuyafanya;+