2 Samweli 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Wewe mwenyewe ndiye yule mwanamume! Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mimi nilikutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli, nami nilikukomboa+ kutoka mkononi mwa Sauli. Zaburi 93:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vikumbusho vyako vimekuwa vyenye kutegemeka sana.+Utakatifu unaifaa nyumba yako mwenyewe,+ Ee Yehova, kwa wingi wa siku.+ Zaburi 119:168 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 168 Nimeyashika maagizo yako na vikumbusho vyako,+Kwa maana njia zangu zote ziko mbele zako.+ Danieli 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Na wewe, Belshaza mwana wake,+ hukunyenyekeza moyo wako,+ ijapokuwa ulijua hayo yote.+ Mathayo 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naam, mtakokotwa na kupelekwa mbele ya magavana na wafalme+ kwa ajili yangu, ili kuwa ushahidi+ kwao na kwa mataifa. Matendo 26:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Kuhusu mambo yote ninayoshtakiwa+ na Wayahudi, Mfalme Agripa, ninajihesabu mwenyewe kuwa mwenye furaha kwamba ninajitetea mbele yako leo,
7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Wewe mwenyewe ndiye yule mwanamume! Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mimi nilikutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli, nami nilikukomboa+ kutoka mkononi mwa Sauli.
5 Vikumbusho vyako vimekuwa vyenye kutegemeka sana.+Utakatifu unaifaa nyumba yako mwenyewe,+ Ee Yehova, kwa wingi wa siku.+
18 Naam, mtakokotwa na kupelekwa mbele ya magavana na wafalme+ kwa ajili yangu, ili kuwa ushahidi+ kwao na kwa mataifa.
2 “Kuhusu mambo yote ninayoshtakiwa+ na Wayahudi, Mfalme Agripa, ninajihesabu mwenyewe kuwa mwenye furaha kwamba ninajitetea mbele yako leo,