Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 119:111 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 111 Nimevichukua vikumbusho vyako kuwa ni urithi mpaka wakati usio na kipimo,+Kwa maana hivyo ni furaha ya moyo wangu.+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
111 Nimevichukua vikumbusho vyako kuwa ni urithi mpaka wakati usio na kipimo,+Kwa maana hivyo ni furaha ya moyo wangu.+