Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu,+

      Na mtu yeyote anayependa jeuri nafsi Yake hakika inamchukia.+

  • Zaburi 139:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Umepima kusafiri kwangu na kulala kwangu nikiwa nimejinyoosha,+

      Nawe umezijua njia zangu zote.+

  • Methali 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele za macho ya Yehova,+ naye anayatafakari mapito yake yote.+

  • Methali 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kaburi* na mahali pa maangamizi+ viko mbele za Yehova.+ Basi, mioyo ya wana wa binadamu+ ni zaidi!

  • Waebrania 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki