Zaburi 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu,+Na mtu yeyote anayependa jeuri nafsi Yake hakika inamchukia.+ Zaburi 139:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Umepima kusafiri kwangu na kulala kwangu nikiwa nimejinyoosha,+Nawe umezijua njia zangu zote.+ Methali 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele za macho ya Yehova,+ naye anayatafakari mapito yake yote.+ Methali 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kaburi* na mahali pa maangamizi+ viko mbele za Yehova.+ Basi, mioyo ya wana wa binadamu+ ni zaidi! Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu,+Na mtu yeyote anayependa jeuri nafsi Yake hakika inamchukia.+
11 Kaburi* na mahali pa maangamizi+ viko mbele za Yehova.+ Basi, mioyo ya wana wa binadamu+ ni zaidi!
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+